https://www.youtube.com/watch?v=wbYQHgCPdCA (https://www.youtube.com/watch?v=wbYQHgCPdCA)
Nimeshituka kwamba mwishoni alikusema "Merci beaucoup!" Ninafikiri kwamba alitaka kusema kwamba hakukubali na wewe. Kwa hiyo, kwa nini alikuliza maswali kwa maoni yako? Ninafikiri kwenye adabu, angeweza kusema "meda ase" au asante katika lugha lingine ya Kmt. Watu wengine hawataka kukubali kuhusu chochote.:blackevil:
QuoteLumumba Ababio;233133 wrote: Nimeshituka kwamba mwishoni alikusema "Merci beaucoup!" Ninafikiri kwamba alitaka kusema kwamba hakukubali na wewe. Kwa hiyo, kwa nini alikuliza maswali kwa maoni yako? Ninafikiri kwenye adabu, angeweza kusema "meda ase" au asante katika lugha lingine ya Kmt. Watu wengine hawataka kukubali kuhusu chochote.:blackevil:
Chuki ya mtu mwenyewe ni dawa kubwa.
Sent from my Uhuru Note using Abibitumi Kasa mobile app (http://r.tapatalk.com/byo?rid=88213)
S'ndiyo!